Yanga na Mamelodi ni Vilabu Bora Afrika Kwa Sasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Yanga na Mamelodi ni Vilabu Bora Afrika Kwa Sasa

Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi amesema bado wana nafasi ya kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwakuwa wana mchezo wa marudiano katika Uwanja wa Loftus Versfeld Aprili 05, 2024 ndani ya Jiji la Pretoria nchini Afrika Kusini.


Akizungumza mara baada ya kutamatika dakika 90' za Robo Fainali ya CAFCL kati ya Yanga SC dhidi ya Mamelodi Sundowns, Gamondi amesema matokeo ya mchezo huu ni mipango yake kuwaruhusu Mamelodi kucheza zaidi katika eneo lao, ambacho hakina madhara kimatokeo.


"Tulipaswa kushinda mchezo. Tumecheza vizuri, tumetengeneza nafasi ila hatukuweza kuzitumia," amesema Mokwena.


Akizungumzia kuhusu mchezo ulivyokuwa, Gamondi amesema ulikuwa mchezo mgumu kati ya timu bora barani Afrika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad