AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya soka ya Al Ahly imeifanyia umafia Simba Sc baada ya kuwasili nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa robo fainali ya CAFCL utakaopigwa kesho Ijumaa nchini humo.
Mwandishi wa habari wa Clouds Media ambaye yupo kwenye msafara wa Simba ulioenda Cairo Misri kwa ajili ya mchezo huo, ameshuhudia tukio hilo na hapa anasimulia.
"Al-Ahly kupitia Rider walifanya uhuni wa kulizungusha basi la wachezaji wa Simba kwa dakika (45') kwenda Hotelini sehemu ya dakika (10') .. Mwenyekiti wa bodi ya Simba, Salim Abdallah 'Try again' ikamlazimu kupambana na askari aliyekuwa anaongoza Rider ambaye baadae akasema yalikuwa ni maagizo kutoka Al-Ahly," amesema Nassib Mkomwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK