AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Baada ya kucheza msimu wa kwanza kuna timu ilikuja inanitaka nikawaambia mimi siondoki natakiwa kucheza msimu wa pili, wakaniambia utaongeza mkataba mwingine, nikawaambia sawa lakini nakuja na meneja mpya sio yule wa kucheka cheka hovyo.
“Nikampa mkataba Yasmin akashtuka akanisaidia tukabadilisha mkataba ndio nikasaini mkataba mpya hata Pyramids nimekuja kusaini naye,” Fiston Mayele akizungumza na Azam Media.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK