AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @thehanstone amefunguka mwanzo mwisho sababu zilizopelekea kuondoka kwenye Lebo ya #WCB inayomilikiwa na @diamondplatnumz . Akiwa kwenye kipindi cha #XXL cha #CloudsFm, #Hastone amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya aondoke pale ni Amani na ndio kitu kikubwa alichokikosa.
"Mimi ni msanii mwenye kipaji na nikijana ambae najitafuta kwa upande ule tuliishi lakini kuna vitu havipo kwenye upendo haviwezi kukufanya uishi kwa amani, Nimeshaingia sehemu kama pale nimeshapewa mkataba siwezi kufanya vitu njee ya pale kwahiyo sikuishi vizuri"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK