AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya lhefu ambayo ilikuwa na maskani yake pale Mbeya baadae kuhamishiwa Singida ,Imebadilishwa rasmi jina na sasa inaitwa Singida Black stars SC.
Maelezo ya Barua ya lhefu ambayo kwasasa ni Singida Black Stars,lengo la wao kubadilisha jina ni kuwaunganisha wakazi wa Singida na timu hiyo.
Kuhusu Singida Big Stars ilishahamishia makazi Jiiini Mwanza nayo si ajabu siku yoyote kunzia sasa ikabadilishwa jina
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK