AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaweza kusema ni kama makocha wa timu zote mbili, Miguel Gamondi wa Yanga na Abdelhak Benchikha wa Simba wamekutana na sapraizi, baada ya kulazimika kufanya mabadiliko ya mapema zaidi.
Kwa kawaida, mabadiliko ya wachezaji kwenye mechi hufanyika kiufundi, lakini jana makocha hao walilazimika kuyafanya mapema bila ya kutarajiwa.
Alianza Gamondi kufanya mabadiliko ya kumtoa Joyce Lomalisa dakika ya 6 ya mchezo huo, baada ya beki huyo wa kushoto kuonekana kuugulia nyama za paja, nafasi yake ikachukuliwa na Nickson Kibabage.
Dakika 5 baadaye kwa maana ya ilipofika 11 tangu kuanza kwa mchezo huo, Benchikha naye alilazimika kumtoa Henock Inonga na kuingia Hussein Kazi.
Inonga alionekana mapema tu akichechemea tangu kuanza kwa mchezo huo ikionekana akisumbuliwa na misuli, lakini baadaye alipokuja kugongana na Clement Mzize, ikawa ndiyo mwisho wa kuendelea. Akatolewa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK