Waziri: Utabiri wa Hali ya Hewa Ufike Mpaka Kwenye Vitongoji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri: Utabiri wa Hali ya Hewa Ufike Mpaka Kwenye Vitongoji


Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa pole kwa Wananchi wote walioathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali Nchini ambapo amewalekeza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha taarifa za hali ya hewa za kila siku inawafikia Wananchi kwa wakati mpaka ngazi ya Kitongoji ili waweze kuchukua tahadhari hususani katika msimu huu wa mvua zinazonyesha juu ya wastani.


Mchengerwa ameagiza pia Viongozi wote kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoa maelekezo na miongozo kwa Wananchi hususani wale wanaoishi kwenye maeneo yaliyoathiriwa na mvua ili kuchukua tahadhari zote za kiusalama.


Pia ameagiza Viongozi wahamasishe Wazazi/Walezi kuwa makini na kuchukua tahadhari za kiusalama kwa Watoto/Wanafunzi wanaokwenda na kurudi kutoka Shuleni hususani kwenye maeneo yalitoathiriwa na mvua.


Mchengerwa amesema Ofisi ya Rais-TAMISEMI inaendelea kufanya jitihada za kuhakikisha kuwa mundombinu muhimu iliyoathiriwa na mvua inarejeshwa ili Wananchi waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad