AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba SC wameichukua heshima yao kinguvu hii leo , the man behind this mission ni Juma Mgunda ! kipindi chote ambacho Simba inapitia mateso yeye alikuwa Simba hapo hapo lakini hakushika mpini kwa sababu alikuwa upande wa wanawake.
Kuni ya akiba imeivisha ndondo ! Sijui mashabiki wanatamani kusikia nini zaidi ya taarifa kuwa Mgunda amepewa mkataba kama kocha mkuu wa Simba .
FT AZAM 0-3 SIMBA
⚽️ Sadio
⚽️ Ngoma
⚽️ Duchu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK