KUMEKUCHA: Mume wa Zari Aomba Pambano na Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

KUMEKUCHA: Mume wa Zari Aomba Pambano na Harmonize

Mume wa mfanyabiashara Zari, Shakib Lutaaya ameomba kuzichapa na mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Harmonize, hii ni baada ya Konde kupitia instastory yake kudai kuwa ameamua ku-forcus kwenye ngumi.


Kupitia instastory ya Harmonize ame-share chat zake na #Shakib akiomba pambano na mwanamuziki huyo, ambapo Harmo alimjibu kwa kumtaka Shakib akaangalie alivyozipiga na bondia Hassan #Mwakinyo labda anaweza kubadili maamuzi.


Hata hivyo #Konde amemtaka #Zari aongee na mumewe maana anajaribu kucheza na kifo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad