AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uongozi wa Simba rasmi umeingia katika rada za kumtaka kumsajili mshambuliaji wa Pyramids FC ya nchini Misri, Fiston Mayele.
Simba imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi chao, ili kifanye vema katika msimu ujao.
Mayele aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, ni kati ya wachezaji waliokuwepo katika mipango ya Simba katika msimu ujao.
"Tunaangalia uwezekano wa kumpata Fiston Mayele kwa mkopo kutoka Pyramids FC, tumeshatuma maombi Egypt."
Salim Abdallha 'Try Again' - Mwenyekiti wa Bodi ya Simba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK