AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema ili kuwezesha na kuimarisha huduma ya utoaji na upatikanaji wa mikopo kwa Wanafunzi wa elimu ya juu wenye sifa na uhitaji, Serikali itaongeza fursa za mikopo kwa Wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 223,201 hadi 252,245.
Akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2024, leo May 07,2024 Prof. Mkenda amesema “Serikali itatoa mikopo kwa Wanafunzi 84,500 wa mwaka wa kwanza ambapo shahada ya kwanza 80,000, shahada za juu 2,000, wanaosoma nje ya Nchi 500 na SAMIA Skolashipu 2,000, pia itatoa mikopo kwa Wanafunzi 157,745 wanaoendelea na masomo”
“Serikali pia itatoa ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi 40 wenye ufaulu wa juu kwenye masomo ya sayansi hususan Wanafunzi wa kike waliohitimu Mtihani wa Taifa ya Kidato cha Sita na shahada ya awali kupitia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na itaanza kutoa ufadhili kwa ajili ya shahada za juu ikiwemo eneo la fani ya mionzi na nyuklia”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK