AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Simba ikiwa kwenye mapambano ya kuhakikisha Kibu Denis anasaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Msimbazi, kuna tetesi kuwa Mzamiru Yassin yupo kwenye mawindo ya Ihefu na Azam FC.
Inatajwa kuwa tayari Ihefu imewasilisha ofa mezani kwa Mzamiru huku Azam FC ikiwa imeonesha nia ya kutaka kumsajili kiungo huyo ambaye amedumu Simba kwa muda mrefu tangu aliposajiliwa akitokea Mtibwa Sugar.
Mkataba wa Mzamiru na Simba unamalizika mwishoni mwa msimu lakini hadi sasa bado hajaongeza mkataba mwingine, kwa hiyo kama Simba haitamuongezea mkataba mpya huenda akaondoka akiwa mchezaji huru.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK