AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makonda akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake amezitaka bank 6 zikiwemo NBC, CRDB, NMB, CDB na zingine kutokana na swala la watumishi hewa waisaidie serikali ya mkoa wa Dar kufanya mambo matatu.
1) Kusimamisha matumizi ya akaunti za watumishi hewa mpaka pesa hizo zitakaporudishwa
2) Kuwataja watu wanaochukua pesa kupitia account hizo ambazo zimefunguliwa kwenye benki zao na watumishi wanaojulikana ni hewa ili polisi wachukue hatua pamoja na kufikishwa mahakamani.
3) Kama pesa hizo hazijachukuliwa maana yake ziko bank kwa sababu hiyo makonda amezitaka bank hizo kurejesha pesa za wananchi.
Makonda amezitaka benki hizo kukamilishwa mambo hayo ndani ya siku 21 na amezipatia benki hizo majina na namba zote za akaunti za watumishi waliyokuwa wananufaika na mfumo huo na amesema itasaidia pia kwa watumishi wa mabenki ambao siyo waaminifu.
VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK