Huyu Ndio Mwanaume Amtakaye Mrembo Sanchoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MWANAMITINDO mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ametaja vigezo vya mwanaume ambaye angependa kuwa mume wake.

Akizungumza na gazeti hili, Sanchi alisema kuwa anapenda sana mwanaume mwenye muonekano wa kimazoezi na pia mwenye kujielewa na kuweza kutafuta kwa hali na mali ili maisha yaeleweke.

Akizidi kutiririka, Sanchi alisema kuwa hapendi mwanaume ambaye amevutiwa kwa kumuona kwa umbo na sura yake bali mwenye kumpenda kweli kutoka moyoni.

“Unajua mwanaume anaweza kukuona akakutamani tu lakini anaweza akawa hana vigezo kabisa, kwangu mimi mwanaume mwenye muonekano wa kiume na mtafutaji ndiyo mwenye nafasi kwangu lakini mimi siangalii sura,” alisema Sanchi huku akisema mwanaume huyo bado hajampata hadi sasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad