Nora Anaswa na Mpenzi wa Zamani wa Salma Jabu"Nisha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 STAA mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassor ‘Nora’ amenaswa na mpenzi wa zamani wa mwigizaji Salma Jabu ‘Nisha’ anayefahamika kwa jina moja la Geofrey.


Sosi makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alimtonya paparazi wetu kuwa wawili hao ni wapenzi na wamekuwa wakionekana viwanja mbalimbali vya starehe, paparazi wetu aliwapigia misele na kufanikiwa kuwanasa wakiwa kwenye pozi za kimahaba katika Ukumbi wa Meeda, Sinza Dar Jumamosi iliyopita.
Walipoulizwa kama
ni wapenzi, Nora alikana na kusema wanashirikiana kuandaa kazi za filamu.
“Huyu (Geofrey) tunafanya naye kazi mbalimbali za filamu, hapa tumekuja kutembea mara moja kwani kuna ubaya?,” alihoji Nora.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad