Precision Air, Azam, UDSM, ITVna Clouds FM Waongoza Kwenyelist ya Super Brands 2013

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Precision Air, Azam Products na
chuo kikuu cha Dar es Salaam
UDSM, ni miongoni mwa
makampuni bora 20 ya Tanzania
yaliyotajwa kama super brands kwa
mwaka 2013, kwa mujibu wa
kampuni ya utafiti ya jijini London,
The Centre for Brand Analysis
(TCBA).
Pia kwenye orodha hiyo kwa mujibu
wa TCBA, 2013/14 makampuni
mengine ni Vodacom, Mlimani City,
National Microfinance Bank (NMB),
Coca Cola na Fanta, na M-Pesa.
Mengine ni Kilimanjaro Drinking
Water, Chai Bora, Panadol, Foma
Gold, na Kilimanjaro Music
Award.Kwa upande wa vyombo vya
habari ITV na Cloud FM
vimeongoza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad