AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya wimbo wa Steve RnB, Jambo Jambo kuhit, wasanii wengine watatu wameamua kujaribu bahati zao kwa kutumia beat hiyo ya riddim kutoka Jamaica kwa kufanya version zao. Wasanii hao ni Pestman wa Mwanza aliyefanya wimbo uitwao Mi Beautiful, producer Man Walter wa Combination Sound aliyefanya wimbo uitwao Nawaogopa na Lil Ghetto na Baby J waliorekodi wimbo uitwao Mimi na Wewe . Zisikilize kwa pamoja ndani.
Hii Ndio Mixer ya Nyimbo zote Tatu:
Credits:Bongo5.com
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Atkins also emphasized the requirement of discovering your personal individual carbohydrate amount.
ReplyDeleteStarting, the program offers that you will see obvious benefits in five weeks.
They'll then send you an application.
Review my site - cure diabetes - wtfmedia.me -