AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Namkariri Wema akisema “nilichokifanya nilitoa taarifa, nimekwenda kuripoti polisi kwa hiyo nawasubiria tu wanifanyie walichokua wanataka kufanya, mpaka sasa hivi sijagundua ni kina nani ila mtu alienipa ripoti za vitisho aliniambia ni watu ambao nina uhasama nao na hawapendi maendeleo yangu, akasema pia hao watu nawajua lakini hakusema kama ni waigizaji au ni kina nani ila wanataka kunivamia ili kunikomesha…. mimi sina uhasama na mtu yeyote”
Kuhusu ulinzi wake kwa sasa, Wema amesema “nyumbani nimeongeza ulinzi japo nilikua na walinzi, sikua na walinzi wenye silaha ambao sasa hivi wanakuepo, pia nimeweka alarm system kali na za kisasa…… vitu vingine ni kama kuwa makini ninapokwenda na watu ninaokuwa nao”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK