AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari zenu wapendwa, Weekend nilipata mgeni ambae ni ndugu yangu, ameolewa ana miezi 3 tu, lililomleta hasa ni kutafuta ufumbuzi anasema tangia ameolewa Mume wake alifika kileleni siku ya Honey Moon tu wana miezi 3 sasahivi hajawai fika tena lakini akiingia uwanjani anaweza ata kukesha tatizo ni hilo hafiki mwisho, amemuuliza kwanini anasema nayeye hajui kwanini, nimeona niwaletee nyinyi wana JF mabingwa wa TIBA ya kila tatizo, maana mdogo wangu amekosa amani ameshaanza kuona kupata watoto itakuwa ndoto
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
ni vema mkaenda kumuona dr mtapata ushauri mzuri dada pole usikate tama hayo ni mambo ya kawaida kuna jambo linamsumbua akili mumeo ila ishallah atakuwa sawa nakuombea uwe na ujasiri
ReplyDeleteHuyo alizoea ama kufira au kupiga punyeto sana ama vyote for sure, wakapate ushauri nasaha labda.
ReplyDeleteNitatizo ambalo hata wew linaweza kukukutaa
ReplyDelete