Kwanini Tanzania inang'ang'nia kwenda Kupigana Congo (DRC)?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna mambo mawili yanaleta tafakari isiyo na ulinganifu japokuwa yaweza kuwa na mwelekeo unaofanana, ila kiuhalisia unakinzana.

Mosi, baada ya kutangazwa rasmi kuwa Tanzania itapeleka majeshi yake Congo, waasi wa M23 wameitaka Tanzania isipeleke jeshi lake huko. Kwanini M23 wanapinga sana Tanzania kuleka jeshi lake huko? Kwanini kelele zao ni kubwa sana kwa Tanzania lakini wako kimya kwa mataifa mengine? Je! Ni kwamba wanaiogopa Tanzania ama wanaionea huruma Tanzania, kuna nini kati ya nchi hizi mbili?

Pili, pamoja na kukatazwa kwenda Congo na M23, kwanini Tanzania tunang'ang'ania kupeleka jeshi huko? Pamoja na hali ngumu ya kiuchumi tuliyonayo watanzania kwanini Nshodha na Membe wanasisitiza jeshi letu kwenda huko? Ok, mtu aweza kusema kwasababu Rais alikubali kupeleka jeshi. Je kwanini Rais akubali kirahisi kupeleka jeshi Congo wakati suala kulitoa jeshi nje ya mipaka yako ni suala lenye kuhitaji tafakari kubwa zaidi?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Binafsi naona ni upuuzi usio wa kumithirika, TZ tuna matatizo kibao yanayotushinda kuyatatua sasa iweje tukayatatue ya jirani tena kwa kuweka rehani roho za walinda amani wetu? Iweje tunaingilia uongomvi wa wana ndugu? Sitaki kuamini km TZ tunaviongozi wenye upeo mzuri wa kufikiri. Benard umepewa nini mpaka umekomaa kuwatoa sadaka wajeda wetu?

    ReplyDelete
  2. Hapo kuna kitu,
    lkn amani ni bora kuliko mali

    ReplyDelete
  3. Hatuendi kupigana tunaenda kulinda amani kama wakitaka vita zana tunazo juzi juzi rais wa china alizileta havijawahi kufanyiwa majaribio

    ReplyDelete
  4. Raia basi vichwa vigumuuuu kama mbata,,hii issue ni ya umajo wa mataifa,,sio ya kikwete na M23,,fuckoff hamujui kituu

    ReplyDelete

Top Post Ad