AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Audition hiyo ilifanyika jana asubuhi katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada iliyopo Ilala jijini Dar, ambapo wasanii wengi walijitokeza kuwania nafasi hizo.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa studio hiyo, Bwana Joe Kairuki, alisema kuwa tayari walishaingia mkataba na wasanii wa Kibongo kama Top C na Mr. Nice na sasa wanatafuta wasanii wengine 10 ambao watafanya kazi na studio hiyo iliyopo nchini Kenya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK