Ni Hamisi Mwinjuma na Ambwene Yesaya, au unaweza kusema ni Mwana F.A
na A.Y kwa mara nyingine tena baada ya kutoa “Bila kukunja goti”.
Wameingia tena studio na msanii kutoka South
Africa anayejulikana na HHP kwa ajili ya collabo.Bila kukunja goti
inafanya vizuri sana huku video yake ikisubiliwa kwa hamu kuona jinsi
walivyocheza bila kukunja goti.Vipi kuhusu hii ngoma waliyorekodi na
HPP, tusubili kuisikiliza na kui-download hapahapa.