NYOTA YA AY NA MWANA FA YAZIDI KUNG'AA KIMATAIFA..COLLABO NYINGINE HII HAPA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni Hamisi Mwinjuma na Ambwene Yesaya, au unaweza kusema ni Mwana F.A na A.Y kwa mara nyingine tena baada ya kutoa “Bila kukunja goti”. Wameingia tena studio na msanii kutoka South Africa anayejulikana na HHP kwa ajili ya collabo.Bila kukunja goti inafanya vizuri sana huku video yake ikisubiliwa kwa hamu kuona jinsi walivyocheza bila kukunja goti.Vipi kuhusu hii ngoma waliyorekodi na HPP, tusubili kuisikiliza na kui-download hapahapa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad