AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema hana mkosi kama watu wasiomtakia mema wanavyoeneza maneno mitaani.
Akipiga stori na paparazi wa Ijumaa juzikati, Aunt alisema kuna baadhi ya watu wasioitakia mema ndoa yake wamekuwa wakieneza maneno kwamba ana mkosi ndiyo maana kila mwanaume anayekuwa naye hupatwa na balaa.
Staa huyo aliongeza kuwa haumizwi kichwa na maneno hayo kwa kuwa anaamini kila kinachotokea katika maisha yake ni mipango ya Mungu.
“Maneno yao ni imani potofu na siwezi kumfikiria mwanaume niliyewahi kuwa naye huko nyuma kabla ya kuolewa na mume wangu Demonte kwani hakuna baya lililomfika tangu tulipooana,” alisema Aunt.
-GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
thats z gud ant
ReplyDeleteNdoa za fashion kaz kwelkwel
ReplyDeleteNdoa mwachieni ANAKONDA nyie wengine endeleen na tempo
ReplyDeleteUyo Mme mbilikimo hakufai te à hana adhi yakuitwa Mme n'a ww
ReplyDeleteNdoa ngumu na mke mwema cpatiwa namwomba MUNGU anipatie wangu ila acwe kama Unty
ReplyDeleteToa no mi mwenyewe nataka mume mwema kakangu ila mifuko yako iwe imetuna na usiwe mbahili lol
Deletesitaki shobo! mke/mme mwema hajitajagi.
DeleteAcha kudanganya watu njoo umuokoe Sunday jela Abu Dhabi watamla kiboga huku
ReplyDeleteha!ha!ha! Mdau umenchekesha et wapo tempo
ReplyDelete