MWAKA MMOJA TU NDANI YA NDOA MKE AOMBA KUNUNULIWA GARI NA KIBUZI MUME WA MTU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

A leoprad can never change its spots even if it wishes to! I aint talkin about this issue like nafurahia or somethin, i aint much of a glotter but some things just need to be talked out loud for other people to learn!!!! Lazima mtu ajitolee kumfunga paka kengele! We learn through our mistakes and others mistakes though a little glotting is allowed for healthy reasons and it can hurt no body!

Sasa bwana kuna bi dada mmoja, alikuwa na kibuzi mume ya mutu, (I get your anger on this cheatting issue n all, you have the right to be angry n everything but HEY! SHIT HAPPENS! Take a chill pill and continue to read the rest of the tukaio!) I dont why or how but that mume ya mutu wa a very nice guy! Very nice! I met him couple of times while he was still doing my friend! I can never imagine how luck his wife was! What a generous guy!(You will agree with me latter!)

Walivoanza anza bi dada alikuwa kachoka choka, ndo kamaliza chuo mji hausomki! Hana hela ya kufanya C.P.A yaani nyie acheni tu! Basi the guy was somehow unhappy with his marriage ndo wakaamua wapunguzane machungu na ku refresh a little! Isingekuwa kuambiwa could never tell the guy was married coz mara kibao we were hanging out with him hadi majogooo! Na most weekends walikuwa wanaenda mikoa kuspend! Sasa sijui kwa mkewe alikuwa anaaga vipi! That is not our business anyways!

Ama kweli mke wa mtu sumu japo mume wa mtu maziwa tena ya Tanga Fresh! LOL! Mda mfupi akapangishiwa upande wa nyumba, akamvutia mkoko, na kumtafutia kazi kampuni kubwa la simu mjini hapa! Mambo yakawa mswanooo! Huko kazini bi dada ndo kakutana na mumewe wa sasa, walidate like 3 months hivi vikao vikaanza! Mume wa mtu akaomba funguo zake gari, vingine ndo kiinua mgongo cha mahusiano yao! Akamwambia mumewe gari kaiuza blah! blah!

Sasa si mnajua maisha ya HAKI kwa maslahi ya kampuni za bongo si utani? Mmmmh! Huibi ofisini, huchuni, huchakachui wala huna chuma ulete lazima uisome namba!!!!!!! Ndo bibie kuanza maisha ya ndoa haki bin haki! Nyie mwasemaga LOVE IS BLIND! Thubutuuuuuuuu yenu! Mwaka anahaha tu kubalansisha mambo! Wapiii! Maisha yanampeleka race kama Hussein Bolt, Ndo juzi kuja kunitaka ushauri kuwa, etiii karudiana na mume ya mutu! Hataki ushauri wangu juu ya hilo coz ni kitu keshaamua binafsi japo analotaka ushauri ni kuwa kaagiziwa gari na iko bandarini hapo na huyo mume wa mtu ndo anafikiria changa la macho la kumpiga mumewe coz financial situation yake anaijua nje ndani hana uwezo wa kuafford huo usafiri!!!!!!!!!!

Mi nikamuuliza, weye wataka gari ama ndoa? Yuko, vyote navitaka! Gari nataka na ndoa pia naitaka!!!!! Makubwaaaaaa! Mi nikamwambia mwambie umekopa bank!!!!! Ooooh atanimind coz tuna mambo mengi hayajatulia bado! Basi tukafikia suluhu amwambie la kampuni wanakatwa kwenye salary wakimaliza linakuwa lake, maadam hilo kadi lifiche mbali asilione!!!!!! Pia nikamwambia akishindwa kabisaa anigee mie sina deni na mtu mie nijitanue! Heheheeeeeeeeeee!!!!!!!!!!

TAMAA YA FISI MBAYA SANAAA!!!!!!!!!!! Just imagine the queen of your heart, the love of your life, the woman you respect most, not only her LOVE WAS NEVER BLIND ON WHAT YOU DONT HAVE but proceeded to GET IT FORM ANOTHER MAN LIKE YOU (SO MUCH LESS THAN YOU IN CHARACTER) AND ABOVE ALL TREAT YOU LIKE A F.OOL THAT YOU ARE NOT, TAKING ADVANTAGE OF THE TRUST YOU HAVE FOR HER, DRIVE ANOTHER MAN'S CAR, AND YET EVERY NIGHT LOOK YOU IN THE EYES AND ISNSIT SHE LOVE YOU TO BITS!!!!!!!!!!! Thats the world we live in!!!!!! Shit Happens! Always to the good people!!!!!!!! I have just 1 word for all of this! DAMN!!!!!!!

I do the naratting you handle the cursing

Source:Jamii forums..by Lara1
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

10 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sio Hussein Bolt ni Usain Bolt. ndio wanawake wa siku hizi wanatamaa sana,hiyo ndoa soon itavunjika

    ReplyDelete
  2. we nawe ashuo tuu, sasa ungeandika kiswahili peke yake au kiingereza peke yake ungepungukiwa nn? mxuuuuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  3. i didnt get it! mchanganyiko.com

    ReplyDelete
  4. i didnt get it! mchanganyiko.com

    ReplyDelete
  5. Kumamake iyo kiboko mlioowa mnackia jipange

    ReplyDelete
  6. Hngera mume wa mtu dawa ake ni kumchuna tuuuuuu

    ReplyDelete
  7. Huyo mwezio anahatarisha Ndoa yake maana mume akjua itakuaje?, Kazi yake maana mume ndiye aliye mtafutia kazi hiyo? Kufanyiwa mbaya! maana mke wa uyu jamaa kama akijua kama atashidwa kupambana naye kwa kupingana, Je shindwa kutumia hata majambazi, au kalumazila! Umesema huyo jamaa hawaelewani na mke swali ni nini sababu ya kutoelewana, labda mume hajuwi kufunga zipi amewafungulia wanawake wengi hata mdudu ameingia katika nyumba mke hana amani kilawakati analalamika jinsi ambavyo mume anampeleka kaburini kwakutofunga zipu yake. sasa yeye anafurahiya magari ambayo yanaweza kumpeleka kaburini. Msauri mwezio heri kula kisavu ukiwa na amani kuliko kula bata kwa mashaka au heri kutembea katika daladala na mume wake kuliko kutembea katika ngari la siri nyingi zikifamika itakiwaeje? au asipotezee mume wawatu kwa tamaa zake. aachane naye amwambiye huyu jama awe mke wapili, watatu, au waine kama anataka magari maana akifaa (sio ombi langu kuwa afe) atakuwa na haki ya kuongeza mengine maana atakuwa mke halali kwa sasa hilo likitokea atakuja kunyanganywa maana hata kadi itakuwa kwa imefichwa na huyo jamaa. Hee!!! wake up my sis.

    ReplyDelete
  8. wanaadam mna wivu kwani akichanganya lugha kinakukera nini wewe

    ReplyDelete
  9. Kiingereza au Kiswahili si ungeandika lugha moja sio unachangaya changaya unatuzingua bana au hujui Kiingereza nini alaaa pumbavu!!

    ReplyDelete
  10. kwan maisha ni gari? uyo dada wa mizinga ndo kwanza ataanza..oh mara service ya gari,mara gari imefanya accident,mara tyre zimeisha..unazani gari ni mavuzi

    ReplyDelete

Top Post Ad