AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua
ninayopiga katika safari yangu ya Music,na sitokutendea
haki nisiporudisha shukrani za dhati
kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae
endele kunipa sapoti inayonifanya nizdi kukaza
kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa ni ziara
yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile
unachkisubilia kwa hamu,my number one remix na
mwanangu Davido,hii ilikuwa ni jana usiku
tukiwa studio,hii ni studio ya Davido iliyopo nyumbani
kwake na kkubwa tulichokuwa tunakifanya ni kumalizia kabisa
audio kabla ya kuingia mzigoni kushoot kideo.......
Davido nyuma ya screen akifanya mambo yake kwa umakini kabisa.....!!! |
Team yote hii ni kuhakikisha kila kitu
kinaenda sawa kabisa..Babu tale kwa mbali mwenyewe kamechishaa.....!!!
When Skelewu meet Ngololo..stay tuned..we coming baby..WCB for life huny |
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK