DIAMOND"NDANI YA STUDIO YA DAVIDO TUKIMALIZIA AUDIO YA NUMBER 1 REMIX"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua
ninayopiga katika safari yangu ya Music,na sitokutendea 
haki nisiporudisha shukrani za dhati 

kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae 
endele kunipa sapoti inayonifanya nizdi kukaza 
kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa ni ziara
 yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile
 unachkisubilia kwa hamu,my number one remix na
 mwanangu Davido,hii ilikuwa ni jana usiku
 tukiwa studio,hii ni studio ya Davido iliyopo nyumbani
kwake na kkubwa tulichokuwa tunakifanya ni kumalizia kabisa 
audio kabla ya kuingia mzigoni kushoot kideo.......
Davido nyuma ya screen akifanya mambo yake kwa umakini kabisa.....!!!


 Team yote hii ni kuhakikisha kila kitu 
kinaenda sawa kabisa..Babu tale kwa mbali mwenyewe kamechishaa.....!!!

When Skelewu meet Ngololo..stay tuned..we coming baby..WCB for life huny
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad