TANZANIA YAIBUKA MSHINDI LEO DHIDI YA SOMALIA KOMBE LA CHALLENGE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya timu ya soka ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes kukubali kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Ethiopia katika mechi ya michuano ya Kombe la Chalenji iliyochezwa kwenye Uwanja wa Nyayo, Nairobi.



Timu ya soka ya Tanzania bara,Kilimanjaro Stars leo imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Somalia.

Bao pekee la Haroun Chanongo dakika ya 57 limetosha kuipa Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Somalia mchana wa leo katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge Uwanja wa Nyayo, Nairobi, Kenya.

Hivi sasa Kilimanjaro ina pointi nne baada ya kufungana bao 1-1 na Zambia kwenye mechi iliyopita na ushindi wa 1-0 dhidi ya Somaria wakati Somalia haina pointi baada ya kupoteza mechi zake zote dhidi ya Burundi na Kilimanjaro stars.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad