AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa filamu, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefungukia sababu za baadhi ya mastaa kujiingiza kwenye tabia chafu ya usagaji akidai kuwa, kutendwa na wanaume ndiyo chanzo cha yote.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Amanda alisema maudhi ambayo baadhi ya mastaa wamekuwa wakiyapata kutoka kwa wapenzi wao waliotokea kuwapenda ndiyo husababisha baadhi yao kuona suluhisho ni kuhamia kwenye usagaji.
“Wasanii wanajiingiza huko sababu wanaumizwa na wanaume, wanadhani usagaji ni raha, wanaona hii ni njia sahii ya kujituliza,” alidai Amanda huku akikwepa kujibu swali la kama naye yumo kwenye kundi la wasagaji ama laa.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo ni la hawa wasanii kupenda watu maarufu wakidhani ndo watapata wapenzi badala ya kutafuta mpenz wa kweli
ReplyDeleteWanapenda kuwana watu maarufu wakati waohawawataki! wanaishia kuwachezea wakiwachoka wanawatupilia mbali, acha wajifunze!
ReplyDeletemh
ReplyDeleteWasanii wetu wanatakiwa waelimishwe Nini maana ya USANII.maana HAWAJITAMBUI,HAWAJIELEWI wala HAWAJIJUI.Shame upon your face!!
ReplyDeletekwa hiyo siku chai ikichemka mkashtukia hamna sukari mnaweka nini?
ReplyDeletemnaongeza maji, mnatia chumvi, unga , au mchanga?
sijakuelewa, unamaanisha nn hahahahahaha majanga
Delete