WABUNGE WAZIDI KUMKALIA KOONI WAZIRI MKUU PINDA...FOMU ZA KUMG'OA UWAZIRI ZAINGIZWA BUNGENI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali  bado  ni  tete  bungeni.....Wabunge  wanawataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha kujiuzulu kutokana na maovu yaliyofanywa wakati wa Operesheni Tokomeza wakati wakijadili ripoti iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli.

Wakati wa bunge la jioni  likianza, Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali ameonekana  akiingia na fomu bungeni   kwa ajili ya kukusanya saini za wabunge za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda..
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yes, this gets difficult but may be worth understanding.


    Look into my site :: cydia sources - ,

    ReplyDelete

Top Post Ad