AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki aliiambia tovuti ya Times FM kuwa ugumu wa ndoa umemfanya asifikirie tena kuoa maishani.
“I’m single, sitaoa tena…mimi niko single na sitaoa tena. Kwa sababu nimeona ugumu wa ndoa na wepesi wa kuwa bachelor. Kwa hiyo nimeamua kuwa bachelor na siwezi kuoa tena, sioi tena jamani I’m single. No more kuoa Bob Junior,” aliiambia tovuti huyo.
“Unajua unapokuwa kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend, hamna ile ‘uko wapi sasa hivi, rudi haraka nyumbani’, umeenda kwenye show ukirudi mara kanuna.”
Bob Junior aliiambia tovuti hiyo kuwa ndoa yake ilikuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya kazi yake kwa kuwa katika siku saba za wiki ni siku mbili tu anakuwa na furaha, na kwa kuwa kazi yake inategemea ubunifu na utulivu asingeweza kufanya kazi vizuri.
Alisema mkewe alikuwa na wivu kiasi cha kuiingilia hadi ukurasa wake wa Facebook na kuwatukana watu waliokuwa wanachat naye
Bongo5
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ww una elements za shoga,nani.asiekujua?kiasi uongee hivyo.
ReplyDeletebob ni kuma kafiri mkubwa huyo
ReplyDeleteHuyo kishazoea ushoga hawezi kuishi namke!
ReplyDeletemmh minapita2
ReplyDeletehuna lolote ww unataka kuolewa kwan ww ni importence(functionless)
ReplyDelete....searching....
ReplyDeleteBob wacha zako lazima ukubali majukumu
ReplyDeleteWkt unaona ulitegemea kutoulizwa y girlfriend ulimpenda umemzalisha humtaki bwege chezea wengne katafute ngoma
ReplyDeletealozowea va kusongonyoa vakuchinja haviwezi...!!bob unamanisha umeridhika na maisha ya kuzini kuliko ya ndoa yako ya halali..kati dini inasema mwenye kufunga ndoa nisawa na kusimamisha nusu ya dini..unakimbiliya dunia kati sote ni wapita njia..pole.kaka
ReplyDelete