AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwaka 2009 kwa mara ya kwanza Obama alimwita Kanye Jack Ass baada ya Kanye Kupinga ushindi wa Taylor Swift kushinda tuzo ya Best Female Video MTV ..Kanye West alivamia jukwaa na kupinga uteuzi huo....
Juzi Tena katika Mahojiona fulani na TV moja Huko Marekani Obama Aliulizwa Jay z na Kanye Yupi Unamchagua Ombana Akajibu Jay z, na Obama akaulizwa kama bado anamchukulia Kanye kama Jack Ass ..na akajibu hivi:
“He is a jackass,” Obama said. “But he’s talented.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kanye West tangia amtoroshe Kim ni km kawa chizi hivi..na umarufu wake umeshuka kwa 60%
ReplyDeleteObama, alimtokeaga Kim kipindi Wanafanya Playboy tatizo ndo hapo!
ReplyDeletenouma xana
ReplyDeleteHuyu obama nae mwehu, ye anaacha kushuhulika na mambo yake za siasa, anashuhulika na wasanii why??. fanya yako bhana ya kanye muachie kim!!. alaaah!
ReplyDeleteyeye kaulizwa swali ulitaka asijibu? eleweni story msikurupuke to kusema .
Deletewote hamnazo hao.
ReplyDeletewote hamnazo hao.
ReplyDeleteKwel bhana hakuna kuogopana fnya yko nifnye yngu
ReplyDeleteMmmmmmh
ReplyDeleteHabari zote kuwahusu Kim na Kanye utazipata katika blog ya http://bkuhabari.blogspot.com
ReplyDelete