RAPPER WITNESS SASA NI MGANGA, ANATIBU WATU KWA TIBA LISHE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho

Akizungumza na kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio, Witness alitoa ufafanuzi wa jinsi ulaji mbovu ulivyo na madhara kwa afya.

“Siku hizi watu wengi wamekuwa wanakula vyakula vyenye cholesterol,kwa mfano mtu mwingine anaweza akawa na kansa au inaanza au mwingine anaweza akawa ana high blood pressure,hajui tatizo ni nini. Lakini mimi ninaweza nikakuelezea natural ukaelewa hiyo hali natural. Kwasababu tu kula wengine mazoezi,at the same time. Wakati mwingine kuna tatizo lingine ambalo tunalo hapa obesity, suala la ‘unene’ huku kwetu ndio kabisa kwasababu hata mafuta tunayotumia na vyakula vingi viko namna hiyo, watu wanakula nyama nyama sana na vyakula vingi vyenye cholesterol,” alisema rapper huyo.
Kwa upande wa muziki, rapper huyo amesema amemaliza kurekodi video mbili, moja inaitwa ‘Nadata Nawe’ na nyingine inaitwa ‘Think About’ ambazo zote zitatoka mwakani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad