AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa mawaziri walioshinikizwa kujiuzulu wenyewe ni pamoja na Balozi Khamisi Kagasheki ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Emmanuel Nchimbi (Waziri wa Mambo ya Ndani) na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.
Kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Pius Msekwa bungeni jana kiliitishwa na Pinda ambaye pia ni Waziri Mkuu kwa lengo lililoelezwa ni kuwapoza wabunge.
Chanzo cha habari kutoka katika kikao hicho kilisema kuwa wabunge hao walitaka mawaziri hao kujiuzulu wenyewe ili kukinusuru chama mbele ya wananchi.
“Tumemtaka Waziri Mkuu akakae na wenzake na kutuambia kama wanajiuzulu au la na kutupa jibu kabla ya kuahirishwa kwa Bunge, mtasikia wenyewe baadaye ndani ya Bunge,”kilisema chanzo hicho.
Hata hivyo, baada ya kukamilika kwa kikao hicho na wabunge kurejea bungeni, Pinda hakurejea bungeni, badala yake ilidaiwa kwamba alikuwa na kikao katika ofisi zake zilizopo bungeni.
Hadi saa 11.25 alasiri wakati kikao cha Bunge kikiendelea Waziri Mkuu alikuwa hajarejea bungeni, huku ikielezwa kwamba katika kikao alichokuwepo hakikuwahusisha mawaziri wanne waliokuwa katika shinikizo la kujiuzulu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hawa wote makuma tu
ReplyDeleteCCM NYAMA CHINI!!
ReplyDeletekwani mama yako ana mboro siyo eeeeeh:-) na wewe ulizaliwa mkunduni vileeeeee eeeeeh:-) kuwa na adamu na kiungo kilichokuleta duniani we pumbu za baba yako.
ReplyDeleteKuma la mamako... Unatombwa na chama cha mafisadi mkundu we
DeleteAngeanza kumtukana mama yake maana anakuma iliyomleta duniani kabla hajawatukana hao mawazir jifunze nizam na heshima siyo unatoa matusi km zuzu kaa kimya hujalazimishwa kucomment
ReplyDeleteUnafirwa kuma we
Delete