AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kajala anasema picha iliyopigwa akiwa na huyo mume wa mtu, kwanza ilipigwa bila yeye kujua lakini pia anasisitiza kwenda club au kwenda sehemu na kukutana na mtu na kupiga nae picha sio kwamba ndio umemuiba.
Anasema siku ya tukio ilikua ni siku ya kuzaliwa kwa mmiliki wa club hii ndio ikawa party hivyo kila mtu alikua anapiga picha ovyo ovyo ndio maana hata yeye hakujua kama anapigwa.
Kajala ambae ni mama wa mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 14, anasema picha hii na taarifa za kuiba mume wa mtu zimemletea tatizo na maswali kwa familia yake hasa Mtoto na Mama yake.
Anasema mama yake mzazi aliumwa kwa mshtuko alioupata kwa sababu alidhani mwanae kaenda China kikazi na sio kuchukua mume wa mtu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
cheki lilivo
ReplyDeletevaa mkundu
wake!
Acha, joto hasira mamii, amependeza sana tu, tena yaonyesha uliyecomet ni mtoto wa kike. tuna chuki sisi vimwana.
ReplyDeletekudadadeki zako,kama wewe ni shetan unadhan wanawake wote ni mashatan,huo uvaaji kawashabikikie watoto zako na wadogo zako sio jamii,pumbav
DeleteMavazi ni uhuru wa mtu, anavaa mwingine wewe unakereka nn?!tatizo la bongo mnajiona wajanja kumbe washamba watupu
Deleteumemchukua acha, watoto wa mujini mna tamaa sana, mwacheni mwenzenu ainjoyi na ndoa yake, yako imekushinda mpk mume amefungwa, unataka kuharibu ya mwenzio.
ReplyDeleteTatizo la sisi tunapenda kuiga mavazi sa nguo gani?
ReplyDeleteAchen unafki mm navaa hivyo napendeza sana tena sana kajala shost umependeza mm nilijua selena william kumbe kajala hahaha komesha haooo
ReplyDeletenani hua anakwambia kuwa umependeza,ukisifiwa na wakwale mnaotaka kukufila unajiona kweli umependeza,kama hua unapendeza si uvae hivo msikitin au kanisani uone kama hujatimuliwa bwege we
Deletependea thna dada mi wivu tu
ReplyDeleteUsupastaa kazi kweli kweli
ReplyDeletekajala wewe si unamtoto anamiaka 14,sasa uvaaji gani huo
ReplyDeleteHata kama angekuwa kavaa bikini wewe inakuhusu nin?hii sio nchi ya kislaam au kikristo ndugu, mambo yenu pelekeni makanisani na misikitini
DeleteDada maelezo yako tu yanaonesha ulivyomwongo,had it been a video clip we would have your body language,100% he fucked u.
ReplyDeleteSasa hapo heshima iko wapi,huoni aibu kuvaa hivyo?mwanao nae atavaa nini?jiheshimu ili uheshimiwe,uvaaji huo mwachie kichanga chako.
ReplyDeleteUNAJUA HAKUNA MWILI WENYE THAMANI KAMA WA MWANAMKE WAKIAFRICA HUSUSAN
ReplyDeleteTANZANIA,
XAXA UYU DADA
KWA WACENGE WENZIE
WANAMUONA KAPENDZ
ILA KAMA UMEKULIA
MAADIL YA KI TZ
AIBU HATA KULTIZAMA
wewe hizo x and c zako, vipi? maadali ya mtanzania kweli hayo???
Deletekwaza akufundishe shenzi yake huko kwake nyumbani mamae
Deletekajala malaya tu huyo!
ReplyDeleteunakumbuka ulivyotoka tu jela ukawa unafirwa na xx pale blue pearl hotel..ulivyotoka uko hoi tulivyokuchukua kwenye gari ukaanza kutuambia yaani mbaba anafira yule hata usd 500 zake ni kama hazina maaana..unakumbuka?! punguza umalaya shost unatembea na kila aina ya mtu mpaka vitoto loh
ReplyDeleteMavazi gani sasa hayo kajala je mwanao atavaa nini sasa
ReplyDeleteAcha utapeli kalipe watu chao FIKRA HURU
ReplyDeletewe unamwambia nani??
DeleteAdmin wa udaku na admin wa Fikra huru n mmoja namuambia ADMINI
DeleteMalaya huyo
ReplyDeletehuo uvaaji tu inatosha kumwita malaya.
ReplyDeleteNa wewe Shamimu hebu muache mwenzio, umekazana mavazi gani-mavazi gani ulitaka avae magauni makubwa kama nyumba yale yako, unajifanya unamiliki blog ya fashion wakati kuvaa hujui ajuza wewe. Eti sinta anakushadadia happy birth day umezaliwa 1983 uongo mkubwa, mimi na wewe tumezaliwa pamoja na tumesoma pamoja morosec, umezaliwa 1975. muache mtoto wa mwanamke mwenzio, kama huyo Serengeti boy wako hakufungwa kamba alimfuata mwenyewe kajala na umalaya wake, sasa unataka pesa ya sembe uile wewe tu, wewe ulikuwa punda wake, ukaloga na ushirikina wako ili ukae ndani, tulia tukusaidie kumpakata huyo Serengeti boy
ReplyDeleteSASA KWANI JAMAA KAONDOKA NAYO AU KIMEBAKI KWA KAJALA...SI KILA MTU KAONDOKA NA YAKE....HUYO ALIEIBIWA NAYE ALIKUA ANAWAIBA SANA TU MBONA
ReplyDeleteKaaaaaaaaaaaaaaazi Kweli kweli
ReplyDeleteduuuh...... kaz ipo
ReplyDelete