ZILE GUVU ZA SODA ZA MTANASHATI ENTERTAIMENT ZIKO WAPI...WASANII WAKE HAWAJIELEWI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo katika blog moja maarufu hapa Tz Msanii wa Mtanashati Entertaiment anaejulikana kama PNC amehojiwa na kusema kuwa kwa sasa hajielewi kama bado yupo Mtanashati kwani hakuna kinachoendelea kwani Boss wa kundi hilo yupo busy na mambo mengine ...PNC amelalamika na kusema kuwa mziki wake kwa sasa umesimama as hakuna wa kumsimamia japo inajulikana yupo Mtanashati...

Hiyo habari imenifanya nijiulize maswali mengi sana ......Mtanashati walianza kwa nguvu sana kwa kuwachukua wasanii kwa mikwala mingi kama mnakumbuka issue ya Dogo janja alipotoka Tip top Watanashati walimsafirisha kwa ndege Dogo janja kutoka Arusha pamoja na kumpa ahadi kibao ...Lakini Nahisi kwa sasa Dogo Janja Anaimiss Tip top ....Maana nae nikama Yupo yupo tu .....Sina uhakika na hao members wengine sijapata muda wa kuwafatilia kazi zao

Ostaz Juma Vipi ...Mbona ile mikwara yako hatuisikii tena ? ama umebadili Biashara?


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. KIUFUPI AMECHEMKA KULIKI WASANII SIO KAZI RAHISI AWAACHIE WENYEWE KINA PAPAA MISIFA NA BABU TALE

    ReplyDelete

Top Post Ad