AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hiyo habari imenifanya nijiulize maswali mengi sana ......Mtanashati walianza kwa nguvu sana kwa kuwachukua wasanii kwa mikwala mingi kama mnakumbuka issue ya Dogo janja alipotoka Tip top Watanashati walimsafirisha kwa ndege Dogo janja kutoka Arusha pamoja na kumpa ahadi kibao ...Lakini Nahisi kwa sasa Dogo Janja Anaimiss Tip top ....Maana nae nikama Yupo yupo tu .....Sina uhakika na hao members wengine sijapata muda wa kuwafatilia kazi zao
Ostaz Juma Vipi ...Mbona ile mikwara yako hatuisikii tena ? ama umebadili Biashara?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KIUFUPI AMECHEMKA KULIKI WASANII SIO KAZI RAHISI AWAACHIE WENYEWE KINA PAPAA MISIFA NA BABU TALE
ReplyDelete