AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Star wa filamu Swahiliwood, Rose Ndauka amemuweka hadharani mtoto wake aliyejifungua hivi karibuni na kumpa jina la Naveen yeye na baba mtoto wake Malick Bandawe(Chiwaman). Kupitia
mtandao mmoja wa kijamii Rose aliweka picha ta mwanae jioni hii na kuandika "nachukua nafasi hii kuwashukuru wote mlioweza kuwa na mimi na mpaka sasa tumepata mtoto wetu anayeitwa naveen na leo ikiwa tunasogelea arubaini yake tarehe 9/02/2014 basi nawaomba dua zenu na hii ndio zawadi niliopata kwa mungu nashkuru sana kwa zawadi hii shukran mama yangu mzazi na malick kwa zawadi hii... nawapenda sana"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mungu amjalie afya njema daima
ReplyDeleteMungu amjalie afya njema daima
ReplyDeleteHongera kwa kuwa mama
ReplyDeleteHongera mama naveen
ReplyDeleteHongera mrs malik bandawe
ReplyDeletehongela sana mama mungu akujalie afya jemd we2 mtoto na kaka ye2 kila raheli
ReplyDeleteHuyu Co mtt wake n mtt w mshkaji wake anaitwa Salekh namjua huyu mtt Co w rose chunguzeni kbl hamjasema
ReplyDeleteHuyu Co mtt wake n mtt w mshkaji wake anaitwa Salekh namjua huyu mtt Co w rose chunguzeni kbl hamjasema
ReplyDeleteHuyu Co mtt wake n mtt w mshkaji wake anaitwa Salekh namjua huyu mtt Co w rose chunguzeni kbl hamjasema
ReplyDeletehaya nayo majanga mbona hamsomek
ReplyDeletejamani 2 muamini nani
nyie waongo xana rose alijifungua kwa parasheni kabixa na huyo ndo mtoto wake acheni zenu ,mbona hampendi maendeleo ya watu mtoto wa salekh hayupo ivooo muwe mnachunguza before talking..hingera mumy
ReplyDelete