HAMISA MABETO AWATISHIA AMANI WASANII WA KIKE BONGO MOVIES

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMITINDO maarufu nchini, Hamisa Mabeto ametishia maslahi ya wasanii wa kike wa Bongo Movie baada ya kujitosa rasmi kwenye tasnia hiyo na kung’ara katika Filamu ya VIP akiwa na mastaa, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Jacqueline Wolper.

“Wasanii wajiangalie nafasi zao baada ya Mabeto kuingia kwenye filamu maana ndani ya VIP amekamua sana na wasipokuwa makini atawasumbua kutokana na mvuto ulionao,” alisema Ray.

Mabeto ametamba kwenye ulimbwende tangu mwaka 2010 alipoibuka mshindi wa shindano XXL Back to School Bash.

Mwaka 2011 alishika nafasi ya pili katika shindano kumsaka Miss Dar Indian Ocean na baadaye Miss Kinondoni.

Mwaka 2011 alishiriki Miss Tanzania na kufika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo. Mwaka 2012 akafika hatua ya kumi bora kwenye Miss University.

Hivi karibuni alipata ulaji wa kupamba kava la gazeti moja la Kenya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. big up mdada ila umalaya no

    ReplyDelete
  2. Hivi.... Is there any connection between kuwa miss na kuwa muigizaji?... Bongo tumeweka akilini kuwa mtu akiwa mrembo tu basi anaweza kuigiza... KUMAMAYO ZENU!!!!!

    ReplyDelete
  3. huyo Ray mwenyewe si alishasema mvuto kwanza mengine ndo yanafwata.
    hehe kazi ipo bongo muvi

    ReplyDelete
  4. kwa kipi asa awatishe kawaida sana labda kwa mabwana wajipange

    ReplyDelete
  5. kila mtu muigizaji wanauza sura kwa midume yetu yenye pesa iwachukuwe apo shida

    ReplyDelete
  6. Dada Malaya. Huyu hata lulu kanumba aoni ndani,Huyu umalaya wake umepitiliza

    ReplyDelete
  7. Hiv......mhuuuuuu???????????????

    ReplyDelete
  8. Jamani msaada tutani,kwanini misichana ya bongo movie ikipiga picha itatumbukiza midole Yao mdomoni?ndio fashion?na yoote Ni misagaji penny,wolper,hamisa,na mingine nimeisahau mijina Yao .disgusting aarrrrrgggggg!!!!!

    ReplyDelete
  9. mimalaya yote na inatumika kotekote

    ReplyDelete

Top Post Ad