AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Si muda mrefu mambo yatakuwa mazuri tulikuwa tunaendelea kujuana, nadhani sasa tunafahamiana vizuri hivyo watu wasiwe na shaka, tutafunga ndoa soon,” alisema.
Rose ambaye hivi karibuni alihamasisha zoezi la usafi na kuungwa mkono na wasanii mbalimbali akiwamo Meya wa Ilala Jerry Slaa, alisema watu wasihofu kuhusu ndoa hiyo kwani ipo njiani.
“Hatujui labda kuchelewa kwetu kuna kitu Mungu amekiepusha, siku zote haraka haraka haina Baraka,” alisisitiza Ndauka ambaye amepanga kutembea Tanzania nzima kuwahamasisha wananchi kuzingatia usafi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hongera,
ReplyDeletekwan lzm ututangazie si ufunge tukupongeze siyo soon ulikuwa wap kabla mpaka umezaa unaona ijitangazie jipange wenye ndoa atujitangazagi utaona kadi tu hahahahaha
ReplyDeleteMama jipange sawa sawa usije ukaishia kuzalishwa tu, maana ukishazaa huyo bwana ana hiyali akuoe au atunze mtoto, ndo mana wengi husubili ndoa kwanza ndo mambo mengine ya fate
ReplyDeleteHana jipya huyo anajiuza, alienda bukoba akatombwa na kicheche wa mji wa bukoba Rahimu kabyemera.
ReplyDeletehatujakuuliza alikazwa na nani, kwamba unamjua saaaana, shiiiiiiiiiiiiiit
ReplyDelete