HAYA NDIO MAPENZI BORA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nguli wa fasihi Tanzania alishawahi kuongelea mapenzi bora katika kitabu chake kiitwacho Mapenzi bora.

Nguli huyu SHABAN ROBERT alihimiza sana swala la mapenzi bora hii ni kwa sababu mapenzi bora huleta afya, mapenzi bora huleta amani ushilikiano na upendo,mapenzi bora hujenga familia bora mno, mapenzi bora pia huwa kinga ya magojwa, na mapenzi bora ni dawa na tiba.
Yapi ni mapenzi bora: 
  • 1 Kupeana ushauri mwema wa mahusiano yenu, 
  • 2 Kuulizana kipi mwenza wako anapenda na kipi hapendi, 
  • 3 Kuliwazana pale kunapokuwa na huzuni (kuwa mfariji mwema), 
  • 4 Kuepuka ugomvi usokuwa wa lazima, 
  • 5 Kushilikiana katika kuleta maendeleo mema ya kifamilia na kijamii, 
  • 6 Kuonesha upendo kwa dugu,jamaa,marafiki na watu wote wa karibu yenu, 
  • 7 Ucha Mungu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad