AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Paulette alikuwa akizungumza na ‘Movie Leo’ ya kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
“Vimekuwa vinaniuma sana ila hata kama wakisema vitu vyote ataendelea kuwa mama yangu,” alisema.
“Mimi naona mama yangu hana makosa yoyote wanavyomtukana,mimi nakuaga najisikia sana vibaya.
"Namwambia (Wema) mama yangu hata kama amekosea kitu chochote amsamehe kwasababu mimi nampenda Wema kama aunt yangu na ninampenda mama yangu tena sipendi nikiona wanatukanana wala nini napenda wawe marafiki,nataka nimwambie Wema nampenda sana,” alisema. Paula.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wema hawezi kuwa anti yako. sema dadangu.
ReplyDeleteWe nawe Hovyo...ko kajala anaweza kumzaa wema!mfyuuuu
Deletepoa
ReplyDeleteWazazi tunapofanya maamuzi tufikirie watoto waathirikaje tuache umimi
ReplyDeletehakuna na wewe umerisi mikoba.muacheni wema afanye mengine...hayo yashapita.
ReplyDeleteGood totooo. ..Paula wetu it's real paining kwel jaman mtoto kazoea kwaona mkiwa na fraha as a good friends halafu leo mtoto amekua anasoma magazeti ninyi mnagombana tena kupitia wapambee plz...hebu kaeni mwongee we lv u wema ukiwa na kajala. ..
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
DeleteMambo yote kajala altakiwa kuwaza mara mbil kabla ya kufanya sijui ukwel ni upi ila kama kajala unatembea na cl kwel acha wema akuchukie mazima hakuna kitu kinachouma kama hicho kiukwel ktk hal ya kibadam
ReplyDelete