AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mh! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally, amejikuta akiwa njia panda baada ya kutakiwa kunywa pombe ya kienyeji aina ya ugimbi ambayo hajawahi kunywa maishani mwake.
Riyama aliingia kwenye mtihani huo juzikati pande za Songea alipokuwa amekwenda kikazi ambapo alitakiwa kunywa pombe hiyo kutokana na matakwa ya filamu lakini akashindwa.
“Ulikuwa mtihani kwa kweli, ili kuleta uhalisia ilitakiwa ninywe pombe hiyo lakini kiukweli nilishindwa kwa kuwa sijawahi kunywa hata siku moja, ilibidi nizuge na kopo tupu,” alisema Riyama ambaye ni mkali wa kuzitendea haki sini za siriasi.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK