WASANII AFRICA MASHARIKI WAJIPANGA KUZISUSIA TUZO ZA MTV AFRICA MUSIC AWARDS

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Website ya Nairobi News imeripoti kuwa wasanii wa Afrika Mashariki wanapanga kuzisusia tuzo za MTV Africa Music Awards, MAMA.

Wasanii hao wanazishutumu tuzo hizo kwa kutozitendea haki nchini za Afrika Mashariki mwaka huu na kwa kuwapendelea wasanii wa Afrika Kusini na Nigeria zaidi. “Uganda imeumia zaidi kwasababu kutajwa kwao pekee ni kwa collabo na Amani,” msanii mkubwa wa Kenya ambaye hakutaka kutajwa jina lake aliuambia mtandao huo.

Umeandika kuwa wasanii waliotarajiwa kutajwa kwenye tuzo hizo ni AY, Ommy Dimpoz na Lady Jaydee, Tanzania, P-Unit, STL, Elani na Wyre wa Kenya na Jose Chameleone na Navio wa Uganda. Mtandao huo umeripoti kuwa wasanii wengi zaidi wanapanga kutoshiriki kwenye show za utangulizi za Road to Mamas zitakazofanyika Dar es Salaam kwa Afrika Mashariki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad