AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambao
hauombi pesa, upo njema unajua designer
zote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwe
nae maisha yake yanaendelea.
2. Mchepuko wa Vumbi: huu ni ule ooh sina
pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa,
charge iko low, ooh nipo saloon nadaiwa elfu
thelathini nitumie kwa tigopesa, naomba
nauli, nadaiwa kodi, mtoto wa shangazi kaja,
nrushie dompo, nk. Na hii ndio noma maana
njia kuu lazima washtukie mchepuko vumbi
unachafua na unasumbua fulltime!
3. Mchepuko kokoto: huu ni mkali zaidi ya
njia kuu kila mara huuliza upo wapi? na nani?
Why hupokei simu yangu? Nomaaaa!
Baki njia Kuu!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
tehe tehe teh teh huo Wa vumbi noma kweli, ndo mingi kweli aiseeee
ReplyDeleteDuh,,,asanteeeeeeeeeeeeee
ReplyDelete