WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI, SERIKALI TATU MZIGO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWIGIZAJI staa Bongo, Jacqueline Wolper ameifungukia rasimu ya katiba mpya ambayo ipo bungeni kujadiliwa kwa sasa akisema yeye matakwa yake ni kuwepo kwa serikali mbili na si tatu wala ya mkataba.
Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Wolper alisema anaamini serikali ya tatu itakuwa mzigo kwa wananchi ambao ndiyo walipa kodi.

“Serikali mbili ndiyo mpango mzima, ya tatu ni mzigo, ya mkataba sioni maana yake. Halafu nataka muungano udumu, pia nitafurahi sana kama Ukawa watarudi bungeni litakapoanza tena Agosti mwaka huu,” alisema Wolper.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu kishapata bwana kigogo wa CCM anamtumilia!!

    ReplyDelete
  2. Nawewe tafuta huyo kigogo, umbea tu hovyooooo

    ReplyDelete
  3. negro perigro1 May 2014 at 16:12

    Hebu toka zako hapa... kwanza una kashifa ya harufu ya pachupachu...

    ReplyDelete
  4. Kama kapata aache tamaa yakukopa nguo kwenye ma boutique

    ReplyDelete
  5. Kuanzia mwanzo walikosea; Serikali ilitakiwa iwe MOJA tu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. si wamechakachua hapo ndipo walipoharibu

      Delete
  6. Yaa ili wandelee kuuza sembe,

    ReplyDelete
  7. Tatu ndo mpango mzima @ af we wolper acha mambo za ajabu yaan unajitenga hadi na kabila lako?
    Acha kumtumikia huyo kiwete wa akili et kisa anawatetea wasanii wa bongo movie. Kwanza naomba unitajie mfanyabiashara mkubwa wa kabila lenu anaetaka ser 2
    #nimeuliza mfanyabiashara kwa sababu hawa ndo walipa kodi wakubwa
    THINK TWICE B4 TAKING DECISSIONSSSS

    ReplyDelete

Top Post Ad