AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Wolper alisema anaamini serikali ya tatu itakuwa mzigo kwa wananchi ambao ndiyo walipa kodi.
“Serikali mbili ndiyo mpango mzima, ya tatu ni mzigo, ya mkataba sioni maana yake. Halafu nataka muungano udumu, pia nitafurahi sana kama Ukawa watarudi bungeni litakapoanza tena Agosti mwaka huu,” alisema Wolper.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyu kishapata bwana kigogo wa CCM anamtumilia!!
ReplyDelete2 YATOSHA
ReplyDeleteNawewe tafuta huyo kigogo, umbea tu hovyooooo
ReplyDeleteHebu toka zako hapa... kwanza una kashifa ya harufu ya pachupachu...
ReplyDeleteKama kapata aache tamaa yakukopa nguo kwenye ma boutique
ReplyDeleteKuanzia mwanzo walikosea; Serikali ilitakiwa iwe MOJA tu.
ReplyDeletesi wamechakachua hapo ndipo walipoharibu
DeleteYaa ili wandelee kuuza sembe,
ReplyDeleteTatu ndo mpango mzima @ af we wolper acha mambo za ajabu yaan unajitenga hadi na kabila lako?
ReplyDeleteAcha kumtumikia huyo kiwete wa akili et kisa anawatetea wasanii wa bongo movie. Kwanza naomba unitajie mfanyabiashara mkubwa wa kabila lenu anaetaka ser 2
#nimeuliza mfanyabiashara kwa sababu hawa ndo walipa kodi wakubwa
THINK TWICE B4 TAKING DECISSIONSSSS