AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikizungumza na Amani juzikati, chanzo kilisema msanii huyo kwa sasa anavuta unga kiasi cha uteja kujionesha waziwazi na kupoteza mwonekano wake wa zamani.
Juzi, paparazi wetu alimtafuta Mlela na kufanikiwa kumpata nyumbani kwao Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa na haya ya kusema:
“Katika maisha yangu sijawahi kutumia madawa ya kulevya na huwa nayapinga sana. Wanaosema navuta ni waongo, mimi sasa hivi naitwa baba, hivyo majukumu yameongezeka ndiyo maana sijichanganyi kivile.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Washaona fashion acha yawafile
ReplyDeleteHakuna mtu anayekubali kama anabwia unga mpaka athari zionekane,huwa hawakubali kamwe
ReplyDeleteKama ni mteja sasa anaelekea kufirwa ndugu zake wamsahidie mapema
ReplyDeleteJeez i wish i cud date him
ReplyDeleteGo suck your father's dick... stupid slut! Fuck you, dumbass motherfucker!
Deleteunga si mzuri jamani mnaupendea nini
ReplyDeletemtamu,kajaribu uone,
Delete