“Kama Lulu Akikubali Kuolewa Nitatulia Nae na Kuanzisha Familia…..Anajua Kutafuta Hela Hata kwa Muonekano ni Mkali.”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ammy Nando na Lulu walitengeneza vichwa vya habari mara kadhaa wakihisiwa kuwa na uhusiano wa mapenzi. Hata hivyo wawili hao kwa nyakati tofauti waliueleza uhusiano wao kuwa ni wa kirafiki.

Lakini Nando bado anamuangalia Lulu kwa jicho la tatu kama wife material.

Nando amefunguka yote katika kipindi cha Hatua Tatu cha 100.5 Times Fm kinachoongozwa na Maryam Kitosi, Edson Mkisi Jr na DJ RGuy.

Amesema Lulu ni rafiki yake, lakini ni msichana ambaye anamzimia kwa kuwa anajua kutafuta pesa japo ana umri mdogo.

“Lulu ni mwanaharakati, ni mdogo lakini she knows how to get money.” Amesema Nando.

Aongeza kuwa kutokana na sifa alizonazo za kutafuta pesa pamoja na uzuri wake, atakapokuwa na mpango wa kuolewa yeye yuko tayari kutulia nae.

“Kama Lulu akikubali kuolewa, me I settle down….nitatulia kwa Lulu kama akikubali kuolewa…..hata kwa muonekano ni mkali.” Alisikika Nando kupitia 100.5 Times Fm.

Hivi karibuni Lulu alisema kuwa hana uhusiano wa mapenzi na Nando na ana mpenzi wake mwingine.

Nando pia alieleza uhusiano wake na Dayna Nyange na kudai kuwa ni rafiki yake tu na wanashirikiana katika video ya wimbo wake mpya, “nitauza sura mle ndani.”

Baada ya kupata hayo maelezo kutoka kwa Nando, naomba nikwambie kitu kingine muhimu.

Tuzo Za Watu zitatolewa June 27 Mwezi huu Serena Hotel, tunaomba kwa moyo mkunjufu, mpigie kura Maryam Kitosi kama mtangazaji anaependwa, andika TZW1 MARYAM kwenda 15678.

Pia kipigie kura kipindi cha Hatuta Tatu kama kipindi cha radio kinachopendwa andika TZW2 HATUA TATU kwenda 15678. Asante.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyo anatafuta kiki tu kwanza amekaa kichafu kwel na minywele yake, millard Ayo iz da best presenter

    ReplyDelete
  2. ni kweli mchafu halafu yuko kama mvuta bangi flani simwelewagi

    ReplyDelete

Top Post Ad