AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. Diamond atapita kwenye Red Carpet itakayo tumiwa na wasanii mbalimbali siku ya tukio.
Hii ni sehemu ya nguo ambayo atavaa siku ya tukio na imetengenezwa na Sheria Ngowi, sehemu moja imeandikwa Mr Diamond Platnumz.
Haya ni maneno aliyoandika alipo-share hii picha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nzuri utapendeza sana dai
ReplyDeleteya wema mbona hujatuonyesha vipi haya mambo sasa, we sheria usibague bwana mshonee na Madame
kila la kheri dai
teh teh teh tehe eti hata nguo atakayovaa jamii nzima inaambiwa!!!!!
ReplyDeletenguo boroka hiyooooooo
ReplyDeletehapa nimegundua wabongo wana wivu sana hata kuisifia nguo iliyodizainiwa na mtanzania mwenzetu khaaa hii kali zaidi ya kawaida. tubadilike tupende na kuthamini vya kwetu
ReplyDeletekwaniiiii..................
ReplyDelete