AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utafiti nilioufanya hautoi njia kwa chadema kupenya tena kwenye mioyo ya watanzania na kuwa chama pendwa, kimekuwa kama ilivyokuwa CUF ambayo hivi sasa ni chama zee zee, kuu kuu.
===nashauri ccm itumie vyema mwanya huu kujiimarisha, kuziba hili gape.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Poleni mafisadi kwani kwa upeo wenu mdogo wa kufikiri mnafikiri mmepona.Chadema itasimama nanyi mafisadi mtaondoka tu.
ReplyDeleteBADO MPO VIZURI CHM ILA HILI LA KUIMARISHA CHAMA MSIPOFANYIA KAZI BASI MMEKWISHA NDO SEHEMU ILIYOBAKI NA NGUMU SANA SIO KAMA MNAVYODHANI MAANA CUF WAMEKWAMA HAPA NDO SABABU WATU WANADHANI MNAZAMA KILA LA HERI!!!!
ReplyDeleteCHAGGA DEVELOPMENT ORGANISATION......Ubunge chimomuri Moshi vijijini.......diwani.....kibororoni.....haaaaaa kwishneyyyyyyyy
ReplyDeleteCDM kwisha kwa kweli hakuna jipya
ReplyDeletewapo busy na mchakato wa katiba, subiri uishe utajua CDM nani
ReplyDeleteCcm ndio wanavuma sasa hivi kwa viongozi wake kuiba mali za uma hivu mjiulize kwa miaka 52 mpaka sasa mnanini mlicho fanya?kazi yenu bi wizi tuu na kuwapumbaza watanzania ili muendelee kuiba tuu!na wewe Admib utuambie mafisadi wamekupa shilingi ngapi?!
ReplyDelete