AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamani kusafisha nyota ya mapenzi si kwa waganga wa kienyeji tu bali kanisani ndo kwa uhakika zaidi kwingineko ni utapeli tu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
POLE VICKY KAMA UMELIJUA HILO UTAFANIKIWA KAA CHINI TULIA ACHA MICHEPUKO
ReplyDeleteKama kweli Na unataka mungu akusamehe acha kutembea n waune za watu Na uwafate wake zao ukatubu hiyo yote Ni yale machozi waliyokuwa wanalia wanawake wenzako kutetea ndoa zap,
ReplyDeletehongera kwa uamzi huo sister achana na masharti ya baba paroko
ReplyDeleteSafi sana dadangu,kwa Mungu ndio kila kitu.
ReplyDeleteMAMBO KWA YESU
ReplyDeletehongera
ReplyDeleteMAMBO YT KWA YESUUU NDO MPANGO MZIMAA UTAPENDEZA ZAID MAMAA VICK
ReplyDeleteMungu wetu nimwema ilanawe achakujivinjari nawaume wawenzio.kama nimume muombe mungu akupewako.cheza na masingo tu uone kama hujapata mume.ilahku mume wamtu unataka hela zake.ukirudi kwamungu unaomba akupe mume.majanga hayataisha.
ReplyDeletemmmh jamani!
ReplyDeletejamaniameshakuwa mtu mzima huyo, huyo single atampatawapi kama hamjaanzakusema anatembea na watoto, umri ni tatizo sio yeye
ReplyDeletewaume za watu ndo wanamfaa umri ushaenda ila Vicky nakusihi kaombe msamaha kwa wake za waume uliozaa nao ,una watoto wawili sasa wote umezaa na wanaume tofauti,tena waliooa tayari,,omba msamaha,na utabarikiwa.asante.
ReplyDelete