VICKY KAMATA Ajisalimisha Kanisani Kusafisha Nyota ya Mapenzi na Ndoa iliyochafuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki na mbunge wa viti maalum wa jimbo la Geita kupitia CCM Vicky Kamata amejisalimisha kuombewa kanisa la EAGT kata ya Kalangalala wilaya ya Geita mkoani Geita ili kuondoa mikosi ya ndoa kuvurugika.
Jamani kusafisha nyota ya mapenzi si kwa waganga wa kienyeji tu bali kanisani ndo kwa uhakika zaidi kwingineko ni utapeli tu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

11 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. POLE VICKY KAMA UMELIJUA HILO UTAFANIKIWA KAA CHINI TULIA ACHA MICHEPUKO

    ReplyDelete
  2. Kama kweli Na unataka mungu akusamehe acha kutembea n waune za watu Na uwafate wake zao ukatubu hiyo yote Ni yale machozi waliyokuwa wanalia wanawake wenzako kutetea ndoa zap,

    ReplyDelete
  3. hongera kwa uamzi huo sister achana na masharti ya baba paroko

    ReplyDelete
  4. Safi sana dadangu,kwa Mungu ndio kila kitu.

    ReplyDelete
  5. MAMBO KWA YESU

    ReplyDelete
  6. MAMBO YT KWA YESUUU NDO MPANGO MZIMAA UTAPENDEZA ZAID MAMAA VICK

    ReplyDelete
  7. Mungu wetu nimwema ilanawe achakujivinjari nawaume wawenzio.kama nimume muombe mungu akupewako.cheza na masingo tu uone kama hujapata mume.ilahku mume wamtu unataka hela zake.ukirudi kwamungu unaomba akupe mume.majanga hayataisha.

    ReplyDelete
  8. jamaniameshakuwa mtu mzima huyo, huyo single atampatawapi kama hamjaanzakusema anatembea na watoto, umri ni tatizo sio yeye

    ReplyDelete
  9. waume za watu ndo wanamfaa umri ushaenda ila Vicky nakusihi kaombe msamaha kwa wake za waume uliozaa nao ,una watoto wawili sasa wote umezaa na wanaume tofauti,tena waliooa tayari,,omba msamaha,na utabarikiwa.asante.

    ReplyDelete

Top Post Ad