Diva Loveness Ajifananisha Yeye Mwenyewe na Tony Braxton

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Diva Ameamka na Mpya Huko Instagram kwa Kupost Picha mbali mbali akijifananisha na Mwanamuziki wa Marekani Anayejulikana kama Tony Braxton , katika Picha Moja Ameandika

"Kipindi cha Slave Trade Kuna Babu au Bibi Alikuwa Tanga..Wewe ni ndugu yangu Nahisi lol"

Haya Jamani Watu Wawili Wawili ....Je wewe unafanana na nani?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mjinga wew!katafute kazi ufanye sio kukalia ujinga!na kama huna kazi rud kijijin ukawasaidie kutepela manze!

    ReplyDelete
  2. we binti unashida kweli kweli. unahitaji mwanasaikolojia. kwa ushauri wangu usipende kukaa peke yako utachanganyikiwa, sababu kichwani mwako kuna VITA kali yaani unashindana wewe na nafsi yako.

    ReplyDelete
  3. hahhahaha mbege umeongea yaliyo kichwani kwangu

    ReplyDelete
  4. Lakin kweli bwana wanafanana kwen mkisema kweli kuna ubaya gan

    ReplyDelete

Top Post Ad