AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Acha bwana! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ ameibuka na kukanusha vikali madai ya kutoka kimalovee na mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Kajala alifunguka kwamba madai hayo hayana ukweli wowote na wala hana ukaribu na mtangazaji huyo.
“Sina relation (uhusiano) kama huo na Perfect zaidi ya kazi tu,” alisema Kajala huku Perfect akiwa hapatikani hewani kila alipotafutwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mi niko upande Wa kajala kajala anabanjuliwa na Clement ex Wa Wema ,kajala toka liniiii akatembea na wasio na Hela?anatembea na vigogo ili wampe ukimwi pamoja na utajiri.
ReplyDeletewivu......
ReplyDeleteHuna lolote ww hapo juu mbona alikuwa anatembea na pet man,au pet man nae ni kigogo?
ReplyDeleteachen dhambi kila cku mnataka dada wa wa2 alie looooo kuzmu kunawaida nyie waongo.kaja wa wa2 hana hta hayo mambo.
ReplyDeleteww v cash ni nana junior sasa matusi ya nini ,
ReplyDeleteKajala wewe Si mke Wa mtu?Mbona unajiaibisha na maskendo ya ajabu ajabu?mumeo akisikia hizi habari mbalimbali kuhusu wewe uoni Kama unamsononesha?au kwakuwa Yuko jela ndo unamnyanyasa Hivi ?yaani maisha unayoishi sasa Hivi Ni Kama uko single kumbeeee mke Wa mtu.msonyo
ReplyDelete